Kabla ya kutengana, walikuwa wakiishi kwenye nyumba ya Kampuni ya kituo kimoja cha mafuta, ambapo mwanamume huyo alikuwa mlinzi. Kwa mujibu wa ndugu na watu wa karibu nao, kutengena kwao kulisababishwa na ugomvi uliotokana na kamari. Sheghembe anasema uraibu unaohusiana na michezo ya kubeti ni ile hali isiyokuwa ya kawaida. https://www.pageorama.com/?p=kubetcomagency